Popular Posts

Wednesday, 22 May 2013

VURUGU KUBWA MTWARA KUHUSU GESI HADI BUNGE LAAHIRISHWA




Habari zilizo tufikia ni kuwa zaidi ya watu nane (8) wamepoteza maisha, polis zaidi ya wanne na raia zaidi ya wanne.

Jengo moja ambalo linadaiwa kumilikuwa na CCM limechomwa moto katika eneo la Majengo na daraja linalounganisha Lindi na Mtwara limevunjwa.

Mbali na hayo pia nyumba ya mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC) imechomwa moto. Katika Mji wa Mtwara milio ya mabomu na risasi ndio inayosikika kila kona. Jeshi la Polisi linajaribu kuwadhibiti vijana na watu wengine ambao wanafanya vurugu hizo.

HALI NI TETE... STAY TUNED...

No comments:

Post a Comment