Habari zilizo tufikia ni kuwa zaidi
ya watu nane (8) wamepoteza maisha, polis zaidi ya wanne na raia zaidi ya
wanne.
Jengo
moja ambalo linadaiwa kumilikuwa na CCM limechomwa moto katika eneo la Majengo
na daraja linalounganisha Lindi na Mtwara limevunjwa.
Mbali
na hayo pia nyumba ya mwandishi wa habari wa Shirika la Utangazaji la Tanzania
(TBC) imechomwa moto. Katika Mji wa Mtwara milio ya mabomu na risasi ndio
inayosikika kila kona. Jeshi la Polisi linajaribu kuwadhibiti vijana na watu
wengine ambao wanafanya vurugu hizo.
HALI NI TETE... STAY TUNED...


No comments:
Post a Comment