Wale wakazi wa kanda ya kati Nchini Tanzania hususani mikoa ya Dodoma na Singida wanaombwa kutoa ushirikiano wa hali na mali katika kutoa elimu na kuhamasisha katika masuala mbalimbali. Kikundi cha vijana waliopata elimu na wale wenye mwamko wamekubaliana kuanzisha Foundation iitwayo SANZA EDUCATION FOUNDATION (SEF) kwa ajili ya kuzungumzia masuala mbalimbali yahusuyo elimu. Masuala yanayozungumziwa ni pamoja na:-
1. Kushawishi, kushauri wazazi, viongozi wa serikali na tasaasisi mbalimbali ikiwemno za dini na walimu ili kuwajengea wanafunzi uwezo mzuri kitaaluma
2.kuchangia na kutoa misaada ya hali na mali ili kuwawezesha watoto wasio na uwezo wa kifedha ili waweze kupata taaluma
3.kuongea na wanafunzi wa ngazi mbalimbali kuanzia shule za msingi, shule za sekondari, vyuo mbalimbali wale wa elimu ya juu.
4. kutoa elimu juu ya umuhimu wa elimu katika jamii
5.kwa mawasiliano zaidi na ushauri unaweza kutoa maoni kupitia email address sanzasef@yahoo.com
BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI WAKIWA SHULE HUKO MANYONI SINGIDA
Popular Posts
-
Kutokana na barua yenye Kumb Na CAC.205/228/01/C/14 ya tarehe 2 Julai,2013, Kutoka Menejiment ya utumishi wa umma, inayohusu kupandisha...
-
Tamko hili limetolewa leo tarehe 3 august 2013, mkoani mbeya katika ukumbi wa royal zambezi KIKAO CHA WALIMU WA MKOA WA MBEYA CHA KUJAD...
-
Wamachinga wanadai kule waliko hamishiwa hamna biashara, wateja wala miundo mbinu yoyote kiasi kwamba mitaji inakata. so wameamua kurudi en...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment