Popular Posts

Saturday, 18 May 2013

TUNDU LISU AZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI KATA YA ISEKE-SINGIDA, 17.5.2013

Kamanda Lisu ameongozana na Makamanda Hamedi na wenzake leo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa diwani kata ya Iseke ,jimboni Singida Magharibi . Katika kuelekea kutimia kwa kauli ya Mjinga akijitambua,mwelevu yuko matatani mwenyekiti wa kijiji cha Msambu kupitia CCM amejivua gamba na kujiunga na jeshi la ukombozi . Kata hii ya Iseke ina undwa na vijiji 3 ambavyo ni Iseke, Nkhoiree na Unyangwe . Kamanda anae peperusha bendera ya CHADEMA anaitwa Emmanuel Jackson . Kwa hamasa iliyopo ushindi ni asubuh na mapema

No comments:

Post a Comment