baadhi ya picha zikionyesha moshi wa mabomu ya machozi. polisi wamelazimika kutumia nguvu ili kuwatawanya wamachinga ambao wahitaji muda wa masaa 8 tu kuanzia saa moja asubuh had saa 8 mchana kwa siku moja ya jumapili tu kwa wiki. wamachinga hao bado hawataki kutoka hapo maeneo ya mashine tatu iringa mjini. tukio hilo linatokea baada ya siku chache mh mchungaji msigwa alipowaruhusu wamachinga kuendelea na biashara hiyo. kwa taarifa zaidi fuatilia blog hii(picha na agustino alpha)
Popular Posts
-
Kutokana na barua yenye Kumb Na CAC.205/228/01/C/14 ya tarehe 2 Julai,2013, Kutoka Menejiment ya utumishi wa umma, inayohusu kupandisha...
-
Tamko hili limetolewa leo tarehe 3 august 2013, mkoani mbeya katika ukumbi wa royal zambezi KIKAO CHA WALIMU WA MKOA WA MBEYA CHA KUJAD...
-
Wamachinga wanadai kule waliko hamishiwa hamna biashara, wateja wala miundo mbinu yoyote kiasi kwamba mitaji inakata. so wameamua kurudi en...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment