Kata
ya Kimandolu itaongozwa na Dr Slaa,Mh Sugu,Mh Nassari, na Alphonce
Mawazo. Kata ya Themi itaongozwa na Mh Msigwa, Mh Zitto, Mh Lucy
Owenya,na Mh Parresso, Kata ya Elerai itaongozwa na Mh Lema, Mh Mnyika,
Mh Halima Mdee na Mh Rosse Kamili, Kata ya Kaloleni atakuwepo Mh Mbowe,
Kamanda mkuu, Tundu Antipas Lissu, Mabere Nyaucho Marandu, na Mh Natse,
Leo uzinduzi wa kata zote nne utafanyika viwanja vya Ngarenaro,Kamanda
Mbowe atazindua kwa kutumia Chopa
Popular Posts
-
Kutokana na barua yenye Kumb Na CAC.205/228/01/C/14 ya tarehe 2 Julai,2013, Kutoka Menejiment ya utumishi wa umma, inayohusu kupandisha...
-
Tamko hili limetolewa leo tarehe 3 august 2013, mkoani mbeya katika ukumbi wa royal zambezi KIKAO CHA WALIMU WA MKOA WA MBEYA CHA KUJAD...
-
Wamachinga wanadai kule waliko hamishiwa hamna biashara, wateja wala miundo mbinu yoyote kiasi kwamba mitaji inakata. so wameamua kurudi en...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment