Popular Posts

Monday, 20 May 2013

BUNGE LAAHIRISHWA GHAFLA BAADA YA KAMBI YA UPINZANI KUDAI SERIKALI INAUA WAANDISHI WA HABARI

Sugu anaendelea kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani, analaumu serikali kuwa inawakandamiza waandishi wa habari anazungumzia ugaidi na utekaji na utesaji. 

Hutuba ya Sugu bungeni yasimamishwa, Bunge laahirishwa ghafula mpaka jioni, kamati ya uongozi yakutana kuijadiri ni baada ya Zambi kuomba muongozo akidai hotuba ya sugu imejaa uchochezi na uongo wa kuisema vibaya serikali ya ccm. 

Bunge limeahirishwa baada ya kambi upinzani kudai kwamba serikali inatoa kucha, macho, meno na kuwaua waandishi wa habari

No comments:

Post a Comment