Sugu
anaendelea kuwasilisha maoni ya kambi ya upinzani, analaumu serikali kuwa
inawakandamiza waandishi wa habari anazungumzia
ugaidi na utekaji na utesaji.
Hutuba ya Sugu bungeni yasimamishwa,
Bunge laahirishwa ghafula mpaka jioni, kamati ya uongozi yakutana
kuijadiri ni baada ya Zambi kuomba muongozo akidai hotuba ya sugu imejaa
uchochezi na uongo wa kuisema vibaya serikali ya ccm.

No comments:
Post a Comment