Popular Posts

Saturday, 18 May 2013

HALI YA MIUNDOMBINU NI MBAYA WILAYANI MAKETE

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

Picha hizi zinaonesha maeneo mbalimbali ya barabara wilayani Makete mkoani Njombe ambazo zimeharibika kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha wilayani humo, kwa hivi sasa mvua zimemalizika tunaomba wahusika waanze kuzifanyia ukarabaiti(Picha na msumari bloggers)

No comments:

Post a Comment