Picha hizi zinaonesha maeneo mbalimbali ya barabara wilayani Makete mkoani Njombe ambazo zimeharibika kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha wilayani humo, kwa hivi sasa mvua zimemalizika tunaomba wahusika waanze kuzifanyia ukarabaiti(Picha na msumari bloggers)
Popular Posts
-
Kutokana na barua yenye Kumb Na CAC.205/228/01/C/14 ya tarehe 2 Julai,2013, Kutoka Menejiment ya utumishi wa umma, inayohusu kupandisha...
-
Tamko hili limetolewa leo tarehe 3 august 2013, mkoani mbeya katika ukumbi wa royal zambezi KIKAO CHA WALIMU WA MKOA WA MBEYA CHA KUJAD...
-
Wamachinga wanadai kule waliko hamishiwa hamna biashara, wateja wala miundo mbinu yoyote kiasi kwamba mitaji inakata. so wameamua kurudi en...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment