Popular Posts

Monday, 20 May 2013

M4C YAIVUNJA CCM KATIKA JIMBO LA MH. LOWASA (MONDULI), MAMIA WACHUKUA KADI CHA CHADEMA

Godbless Lema akiwakabidhi kadi za CHADEMA wananchi wa Monduli katika kata ya Makuyuni  kwenye uzinduzi wa kampeni za udiwani. Mamia wamehama CCM na kujiunga na CHADEMA. Hili ni pigo kwa CCM kwani maeneo haya ndiyo ilikuwa ngome yake.

No comments:

Post a Comment